Kizimkazi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kizimkazi
Remove ads

Kizimkazi (pia hujulikana kama Kizimkazi Mtendeni) ni kijiji cha wavuvi kilichokuwa na uzio kusini mwa pwani ya Zanzibar, Tanzania.

Thumb
Msikiti wa Kizimkazi.

Kiko maili tatu kusini-mashariki mwa Msikiti wa Kizimkazi (unaopatikana Kizimkazi Dimbani ambao mara nyingi hujulikana kama Dimbani).

Miaka ya hivi karibuni, Kizimkazi imekuwa kivutio kikubwa cha watalii, kwani ziara za kila siku za boti hupangwa ili kuwaleta wageni ufukweni kutazama pomboo na kuogelea nao.

Remove ads

Historia

Kulikuwa mahali pa makazi ya Waswahili wa kale katika pwani ya Bahari ya Hindi.

Tazama pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads