Kointa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kointa
Remove ads

Kointa (kwa Kilatini: Quinta; alifariki Aleksandria, 249 hivi) alikuwa mwanamke bikira wa Misri, ambaye alifia imani ya Kikristo muda mfupi kabla ya dhuluma ya kaisari Decius.

Thumb
Mt. Kointa.

Kwa kuwa alikataa kuabudu miungu aliyoichukia, alifungwa miguu na kuburuzwa kikatili katika barabara wa mji huo [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Februari[2][3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads