Kolumba

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kolumba
Remove ads

Kolumba (anajulikana pia kama Colum Cille, Colm Cille, Calum Cille, Colum Keeilley, Kolban na Kolbjørn, maana yake "Njiwa wa Kanisa"; 7 Desemba 5219 Juni 597) alikuwa mmonaki padri mmisionari kutoka Ireland aliyeeneza Ukristo kati ya Wapikti wa Uskoti.

Thumb
Mtume wa Wapikti.

Baada ya kupata malezi ya kitawa, alianzisha monasteri kadhaa maarufu kwa nidhamu na elimu, kwanza kwao, halafu katika kisiwa cha Iona (Uskoti) alipofariki mbele ya altare akiwa anamngojea Bwana[1].

Anahesabiwa kati ya Mitume kumi na wawili wa Ireland.

Anaheshimiwa na madhehebu mbalimbali kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe ya kifo chake, 9 Juni[2].

Remove ads

Sala yake

Peke yangu, pasipo yeyote ila wewe, Mungu wangu, nasafiri katika njia yangu.

Niogope nini, ukiwa karibu nami, mtawala usiku na mchana?

Katika mkono wako niko salama kuliko kama ningezungukwa na jeshi la kunilinda.

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya lugha nyingine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads