Konlaedo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Konlaedo
Remove ads

Konlaedo (kwa Kikelti: Collaid, Condlaedh, Conlaeth, Conlaidh, Conleo, Conliad, Conlian, Connlaed; 450 hivi - Kildare, 519 hivi) alikuwa mkaapweke nchini Ireland, halafu mshirika wa Brid wa Kildare katika kuendesha monasteri zake, ikiwemo ile maarufu ya Kildare[1]. Hatimaye akawa askofu wa kwanza wa eneo hilo[2].

Thumb
Mt. Konlaedo katika dirisha la kioo cha rangi.

Tangu kale anahesabiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Mei[3]-

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads