Korentino

From Wikipedia, the free encyclopedia

Korentino
Remove ads

Korentino (pia: Kaourintin, Corentin; 375 hivi - 12 Desemba 453) kadiri ya mapokeo, alikuwa askofu wa kwanza wa Quimper (Bretagne [1].

Thumb
Picha takatifu ya kisasa.

Habari zake zinapatikana katika Maisha ya Mtakatifu Korentino yaliyoandikwa miaka 1220-1235.

Baada ya kuwa mkaapweke huko Plomodiern, mfalme Gradlon aliamua kuanzisha jimbo huko Quimper akamteua Korentino awe askofu wa kwanza. Hivyo akamtuma Tours apewe daraja takatifu na Martino.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 12 Desemba[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads