Kostanso wa Ancona

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kostanso wa Ancona
Remove ads

Kostanso wa Ancona (alifariki katika karne ya 5) alikuwa mtawa wa mji huo wa Italia ya Kati[1].

Thumb
Mt. Kostanso akisali.

Papa Gregori I aliandika juu yake akimsifu kwa karama ya kutenda miujiza, lakini zaidi kwa unyenyekevu wake mkubwa.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Septemba[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads