Krispino wa Viterbo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Krispino wa Viterbo (Viterbo, 13 Novemba 1668 – Roma, 19 Mei 1750) alikuwa bradha wa shirika la Ndugu Wadogo Wakapuchini.

Mtu asiye na elimu, alijiwekea lengo la kulingana na bradha Felix wa Cantalice, mtakatifu wa kwanza wa shirika lake.
Alipokuwa anaombaomba sadaka katika vijiji vya milimani alikuwa anawafundisha wakulima misingi ya imani ya Kikristo[1].
Alitangazwa mwenye heri na Papa Pius VII tarehe 7 Septemba 1806, akawa mtakatifu wa kwanza kutangazwa na Papa Yohane Paulo II (20 Juni 1982).
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo ya Kiswahili
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads