Fimbi

Ndege wadogo kiasi wa familia Bucerotidae From Wikipedia, the free encyclopedia

Fimbi
Remove ads
Remove ads

Fimbi ni jina linalotumika kwa spishi ndogo za familia ya ndege Bucerotidae; spishi moja inaitwa kwembe au kwembekwembe pia. Spishi kubwa za familia hii zinaitwa hondohondo. Fimbi wana domo kubwa lakini lile halina aina ya pembe juu lake kama domo la hondohondo au pembe hii ni dogo sana. Domo linaweza kuwa jeusi, jekundu au njano. Isipokuwa fimbi wadogo, spishi za Afrika zinatokea savana kavu na spishi za Asia zinatokea misitu. Fimbi hula matunda, mbegu, wadudu, mijusi na panya.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...

Jike wa fimbi huyataga mayai 2-6 katika tundu ya mti au mwamba, pengine katika tundu ya kigong'ota au zuwakulu. Dume afunga mwingilio wa tundu kwa matope, mavi na nyama ya matunda. Awaletea jike na makinda chakula.

Remove ads

Spishi za Afrika

Remove ads

Spishi za mabara mengine

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads