Klaro wa Vienne

From Wikipedia, the free encyclopedia

Klaro wa Vienne
Remove ads

Klaro wa Vienne (kwa Kifaransa: Saint Clair de Vienne au Clair du Dauphiné; alifariki 660 hivi) alikuwa abati wa monasteri huko Vienne, katika Ufaransa wa leo, aliyewapa wamonaki wenzake kielelezo cha ukamilifu wa kitawa [1].

Thumb
Sanamu yake huko Caluire.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu. Heshima hiyo ilithibitishwa na Papa Pius X mwaka 1903.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Januari[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads