Leon Trotsky

From Wikipedia, the free encyclopedia

Leon Trotsky
Remove ads

Leon Trotsky (kwa Kirusi Лев Дави́дович Тро́цкий, Lev Davidovich Trotsky, ubini wa awali Бронште́йн, Bronshtein) alikuwa Myahudi wa Urusi (Yanovka, leo nchini Ukraina, 7 Novemba 1879Coyoacán, Mexico City, Meksiko 21 Agosti 1940) maarufu kwa mwanamapinduzi wa kikomunisti.

Thumb
Trotsky mwaka 1921.

Baada ya kuwa kiongozi wa kwanza wa Jeshi Jekundu na kushiriki uongozi wa Umoja wa Kisovyeti, alishindana na Stalin akaondolewa madarakani (1927) na hatimaye kufukuzwa nchini (1929).

Akiendelea kupinga siasa ya Stalin kutoka Meksiko, aliuawa baada ya majaribio yake mengi kushindikana.

Ujumbe wake hasa ulikuwa kwamba mapinduzi yanatakiwa kuwa ya kudumu.

Remove ads

Baadhi ya maandishi yake

Remove ads

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads