Leudini
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Leudini (kwa Kifaransa: Leudin au Bodon; pia: Leudinus, Leudovinus, Leudvinus, Leudvin, Leudin, Lendin, Bodo; 625 hivi - 11 Septemba 678 hivi[1]) alikuwa askofu wa 17[2] wa Toul, leo nchini Ufaransa[3].
Kwanza alioa na kupata mtoto wa kike, lakini baadaye alikubaliana na mke wake Otilia waende kuishi kimonaki kama dada yake Salaberga[4]. Mwisho akawa askofu kwa miaka si mingi, kama miwili.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Septemba[5][6].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads