Lifardi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Lifardi (Mans, Ufaransa, karne ya 6 - Meung-sur-Loire, Orleans, 570 hivi[1]) alikuwa gavana wa Orleans ambaye kufikia umri wa miaka 40 aliacha utawala akawa shemasi, halafu mkaapweke, padri na baadaye alianzisha monasteri ambapo alifariki[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads