Lisa Jensen

Mwigizaji na mwanamitindo wa Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Lisa Jensen (amezaliwa tar. 27 Aprili, 1988) ni mwanamitindo na mwigizaji kutoka nchini Tanzania. Lisa alipata kushiriki katika shindano la Miss Tanzania 2006 na kuibuka mshindi wa tatu, huku sehemu ya kwanza ikinyakuliwa na Wema Sepetu na ya pili Jokate Mwegelo. Katika upande wa filamu alianza kutambulika sana baada ya kucheza katika filamu Fake Pastors ya mwaka 2007 akiwa na Jokate, Vincent Kigosi na Adam Kuambiana. Mwaka wa 2012, alishinda Miss Redds Tanzania na kwenda kushiriki katika mashinda ya dunia yaliyofanyika huko nchini China mwaka 2013. [1]

Ukweli wa haraka Amezaliwa, Utaifa ...
Remove ads

Filmografia

Viungo vya nje

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads