Lorcán Ua Tuathail

From Wikipedia, the free encyclopedia

Lorcán Ua Tuathail
Remove ads

Lorcán Ua Tuathail (pia: Laurence O'Toole; Castledermot, 1128Eu, 14 Novemba 1180[1][2]) alikuwa askofu mkuu wa Dublin, Ireland [3], wakati kisiwa hicho kilipovamiwa na Wanormani.

Thumb
Mt. Laurenti O'Toole katika kioo cha rangi cha batizio ya kanisa kuu la Christ Church, Dublin.
Thumb
Kioo kingine kinachomuonyesha.

Katikati ya matatizo makubwa ya kipindi hicho cha vurugu, alichangia sana urekebisho wa Kanisa la huko kwa kupigania kwa nguvu zote nidhamu [4] pamoja na kupatanisha wenyeji na wavamizi. Alifariki akiwa safarini kumuendea mfalme Henri II wa Uingereza[5].

Tarehe 11 Desemba 1225 alitangazwa na Papa Honorius III kuwa mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 14 Novemba[6].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads