Luka wa Melicuccà

From Wikipedia, the free encyclopedia

Luka wa Melicuccà
Remove ads

Luka wa Melicuccà (Melicuccà, Reggio Calabria, Italia Kusini, 1035/1040 - Amaroni, Catanzaro, 10 Desemba 1114) alikuwa Mkristo wa Mashariki aliyeishi kama mmonaki wa Kibazili. Mapema alipewa upadirisho halafu akawa askofu wa Isola [1]. Hatimaye alianzisha monasteri alipofariki [2].

Thumb
Picha takatifu ya Mt. Luka katika mavazi ya kiaskofu.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 10 Desemba[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads