Malaga

From Wikipedia, the free encyclopedia

Malaga
Remove ads

Malaga ni mji (manispaa) wa Hispania, makao makuu ya mkoa wa Málaga katika Jimbo la Andalusia.

Thumb
Picha za Malaga.

Tarehe 1 Januari 2019 wakazi wake walikuwa 571,026 [1], ukiwa jiji la pili Andalusia na la sita nchini kwa wingi wa watu.

Pia ni jiji kubwa kati ya majiji yaliyopo kusini kabisa mwa Ulaya: liko katika Costa del Sol (Pwani ya Jua) ya Mediteranea, kilomita 100 (maili 62.14) mashariki kwa Mlangobahari wa Gibraltar na kilomita 130 (maili 80.78) kaskazini kwa Afrika.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads