Magharibi mwa Norwei

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Magharibi mwa Norwei (Kinorwei: Vestlandet, Vest-Norge, Vest-Noreg) ni kanda iliyopo katika pwani ya bahari ya Atlantiki huko mjini kusini mwa nchi ya Norwei. Kanda ina-jumlisha baadhi ya majimbo kama vile Rogaland, Hordaland, Sogn og Fjordane, na Møre og Romsdal na kanda ina wakazi wapatao milioni 1.3. Mji mkubwa kabisa katika kanda hii ni Bergen, wa pili kwa ukubwa ni Stavanger. Agder, Vest-Telemark, Hallingdal, Valdres na sehemu za kaskazini mwa Gudbrandsdal zilikuwa katika jimbo hili wakati wa kupanga Magharibi mwa Norwei.[1][2]

Thumb
Kolagi inayojumlisha miji ya magharibi ambayo ni: Stavanger ·Bergen ·Ålesund ·Selje ·Briksdalsbreen ·Kvitsøy · ·Steinsdalsfossen ·Folgefonna ·Ørsta ·Aurland
Remove ads

Miji

Kanda hii ina miji ipatayo 22. Imewekewa ukubwa kulingana na idadi ya wakazi:

  • Bergen
  • Stavanger
  • Sandnes
  • Ålesund
  • Haugesund
  • Molde
  • Kristiansund
  • Stord
  • Egersund
  • Førde
  • Bryne
  • Florø
  • Åkrehamn
  • Kopervik
  • Jørpeland
  • Odda
  • Ulsteinvik
  • Sauda
  • Fosnavåg
  • Skudeneshavn
  • Måløy
  • Åndalsnes

Wilaya

Thumb
Moja ya sehemu za kanda hii.

Hizi ni wilaya ambazo zimegawiwa kulingana na mfumo wa utawala wa sasa. Umepangwa kutoka Kaskazini kwenda Kusini.

  • Nordmøre (kikawaida haujumlishwi katika sehemu ya Magharibi mwa Norwei)
  • Romsdal
  • Sunnmøre
  • Nordfjord
  • Sunnfjord
  • Sogn
  • Voss
  • Nordhordland
  • Midthordland
  • Sunnhordland
  • Hardanger
  • Haugaland
  • Ryfylke
  • Jæren
  • Dalane

Majimbo

Maelezo zaidi Ngao, Jimbo ...

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads