Magneriki

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Magneriki (Trier, leo nchini Ujerumani, 522 hivi - Trier, 25 Julai 596 hivi) alikuwa askofu wa Trier baada ya mwalimu wake Niseti wa Trier[1][2][3], ambaye kwanza alikwenda naye uhamishoni, halafu akamuiga katika ari ya kichungaji [4].

Rafiki yake Gregori wa Tours aliandika juu yake[5]. Pia Venansi Fortunati alimsifu kwa maadili yake[6][7].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi[8] kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 25 Julai[9].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads