Maimbodo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Maimbodo (kwa Kifaransa: Maimboeuf; alifariki Dampierre, karibu na Besançon, Burgundy, katika Ufaransa wa leo, karne ya 9 hivi) alikuwa Mkristo mkaapweke wa Ireland aliyekwenda kuhiji patakatifu mbalimbali pa barani Ulaya hadi alipouawa na majambazi[1][2][3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu. Papa Leo XIII alithibitisha heshima hiyo tarehe 24 Novemba 1900[4].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Januari[5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads