Mainchin

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mainchin (kwa Kieire: Mainchín mac Setnai; alifariki Limerick, Ireland, mwishoni mwa karne ya 6 au mwanzoni mwa karne ya 7) anasemekana kuwa askofu wa mji huo. Jina lake linamaanisha "Mmonaki mdogo"; aliitwa pia "Mwenye hekima"[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Januari[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Marejeo mengine

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads