Malaika mkuu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Malaika mkuu
Remove ads

Malaika mkuu (kwa Kigiriki ἀρχάγγελος arkh+angelos)[1] ni jina la heshima kwa baadhi ya malaika wenye hadhi ya juu kati ya viumbe vya kiroho.

Thumb
Mchoro wa Guido Reni ukionyesha ushindi wa malaika mkuu Mikaeli dhidi ya Shetani, 1636.

Msingi wa imani hiyo ni kwamba kila malaika ameumbwa peke yake na tofauti na wengine wote, na kwamba katika kumtumikia Mungu aliyewaumba wanashirikiana kwa ngazi.

Katika Ukristo

Biblia ya Kikristo inatumia jina hilo mara mbili: katika Waraka wa kwanza kwa Wathesalonike 4:16 na katika Waraka wa Yuda 1:9, ambapo linamhusu malaika Mikaeli.

Kanisa Katoliki na baadhi ya madhehebu mengine ya Kikristo wanaheshimu malaika wakuu watatu tu: Mikaeli, Gabrieli na Rafaeli[2].

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads