Malaika Mikaeli
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Malaika Mikaeli (kwa Kiebrania מִיכָאֵל, Micha'el au Mîkhā'ēl, maana yake Nani kama Mungu; kwa Kigiriki Μιχαήλ, Mikhaḗl; kwa Kiarabu ميخائيل, Mīkhā'īl) anaheshimiwa kama malaika mkuu katika imani ya dini za Uyahudi, Ukristo[1] na Uislamu.


Remove ads
Katika Ukristo
Katika Biblia ya Kiebrania anatajwa mara tatu katika Kitabu cha Danieli (10:13.21; 12:1).
Katika Agano Jipya la Biblia ya Kikristo anatajwa katika Waraka wa Yuda (9-10) na katika Kitabu cha Ufunuo (12:7-12).
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 29 Septemba[2][3]
Tazama pia
Marejeo
Marejeo ya Kiswahili
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads