Malaika Mikaeli

From Wikipedia, the free encyclopedia

Malaika Mikaeli
Remove ads

Malaika Mikaeli (kwa Kiebrania מִיכָאֵל, Micha'el au Mîkhā'ēl, maana yake Nani kama Mungu; kwa Kigiriki Μιχαήλ, Mikhaḗl; kwa Kiarabu ميخائيل, Mīkhā'īl) anaheshimiwa kama malaika mkuu katika imani ya dini za Uyahudi, Ukristo[1] na Uislamu.

Thumb
Mchoro wa Kiorthodoksi wa karne ya 13 uliopo katika monasteri ya Mtakatifu Katerina kwenye Mlima Sinai.
Thumb
Mchoro wa Guido Reni ukionyesha ushindi wa malaika mkuu Mikaeli dhidi ya Shetani, 1636.
Remove ads

Katika Ukristo

Katika Biblia ya Kiebrania anatajwa mara tatu katika Kitabu cha Danieli (10:13.21; 12:1).

Katika Agano Jipya la Biblia ya Kikristo anatajwa katika Waraka wa Yuda (9-10) na katika Kitabu cha Ufunuo (12:7-12).

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 29 Septemba[2][3]

Tazama pia

Marejeo

Marejeo ya Kiswahili

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads