Malmö

From Wikipedia, the free encyclopedia

Malmö
Remove ads

Malmo (au Malmö) ni mji mkubwa wa tatu nchini Uswidi wenye wakazi 265,000.

Thumb
Malmö (nyuma: Kopenhagen)
Thumb
Turning Torso, Malmö

Iko upande wa kusini wa nchi kando ya mlango wa bahari ya Oresund ikitazama Kopenhagen upande wa Denmark. Miji yote miwili imeunganishwa na daraja la Oresund.

Malmo ni mji mkuu wa jimbo la Skåne.

Matukio

  • Malmöfestivalen

Viungo vya nje

Ukweli wa haraka
Makala hii kuhusu maeneo ya Uswidi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Malmö kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads