Mamlacha

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mamlacha (alifariki nchini Uajemi, 345 hivi) alikuwa bikira Mkristo kutoka nchi ya Wagaramei (Syria) aliyeuawa kwa sababu ya imani yake katika dhuluma ya mfalme Sabor II[1][2].

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi, Waorthodoksi wa Mashariki na Wakatoliki kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Oktoba[3].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads