Manekilde

From Wikipedia, the free encyclopedia

Manekilde
Remove ads

Manekilde (pia: Manechildis, Manehould, Ménehould; Perthes, Ufaransa, karne ya 5 - Bienville, Ufaransa, 490/500) alikuwa bikira Mkristo aliyejitoa kwa Mungu pamoja na dada zake wote 6[1] kumpitia askofu Alpino wa Chalons[2].

Thumb
Kikanisa na sanamu yake.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 14 Oktoba[3].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads