Manekilde
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Manekilde (pia: Manechildis, Manehould, Ménehould; Perthes, Ufaransa, karne ya 5 - Bienville, Ufaransa, 490/500) alikuwa bikira Mkristo aliyejitoa kwa Mungu pamoja na dada zake wote 6[1] kumpitia askofu Alpino wa Chalons[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads