Wilaya ya Ilemela

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wilaya ya Ilemela
Remove ads

Manisipaa ya Ilemela ni wilaya moja kati ya mbili zinazofanya Jiji la Mwanza kwenye Mkoa wa Mwanza, pamoja na manisipaa ya Nyamagana.

Kwa matumizi mengine ya jina hili tazama hapa


Thumb
Wilaya za Jiji la Mwanza

Wakati wa sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 343,001 [1]

Misimbo ya posta katika Ilemela inaanza kwa tarakimu 332 .

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads