Marburg

From Wikipedia, the free encyclopedia

Marburg
Remove ads

Marburg ni mji wa Hesse nchini Ujerumani, makao makuu ya wilaya ya Marburg-Biedenkopf (Landkreis). Mji huo unaenea kando ya mto Lahn.

Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Thumb
Marburg.

Idadi ya wakazi wake ni takriban 79.454. [1]

Remove ads

Historia

Ilipokea hati ya haki ya mji mnamo mwaka 1222. Baadaye ilikuwa mji mkuu wa utemi wa kujitegemea wa Hessen-Marburg wakati wa karne za 16 - 17.

Mnamo mwaka 1527 Chuo Kikuu cha Marburg kiianzishwa kama chuo cha Kiprotestanti.

Marburg ni pia kitovu kimojawapo cha tasnia ya dawa nchini Ujerumani. Ugonjwa wa Marburg ulitambuliwa mara ya kwanza hapa katika maabara. Kuna pia kiwanda cha dawa ya kampuni ya BioNTech inayotoa dawa za Covid-19.

Remove ads

Tazama pia

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads