Margareta wa Uskoti

From Wikipedia, the free encyclopedia

Margareta wa Uskoti
Remove ads

Margareta wa Uskoti (1046 1093) alikuwa malkia wa Uskoti kama mke wa mfalme Malkolm III.

Thumb
Mt. Margaret katika dirisha la kioo cha rangi, St Margaret's Chapel, Edinburgh.

Mwaka 1250 ametangazwa na Papa Innocent IV kuwa mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 16 Novemba[1].

Maisha

Margareta alizaliwa mwaka 1046 nchini Hungaria, ambako baba yake aliishi uhamishoni.

Aliolewa na Malkolm III, mfalme wa Uskoti, akapata watoto wanane.

Alikuwa mfano wa pekee kama mke bora, mama halisi na malkia wa nchi, akijitahidi sana kuistawisha pamoja na Kanisa, akiunganisha na sala na saumu ukarimu kwa maskini [2].

Alifariki mjini Edinburgh mwaka 1093.

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya lugha nyingine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads