Maria Ana wa Yesu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Maria Ana wa Yesu
Remove ads

Maria Ana wa Yesu (jina kamili la Kihispania ni Mariana de Jesús Paredes y Flores; Quito, Ekwador, 31 Oktoba 1618 - Quito, 26 Mei 1645, alikuwa bikira wa Utawa wa Tatu wa Mt. Fransisko aliyejitoa kwa Kristo na kuhudumia Waindio na watu kutoka Afrika fukara [1].

Thumb
Mchoro wa Francisco Sylverio de Sotomayor (karne ya 18) kuhusu Mariana de Jesús, Azucena de Quito, Heroina Nacional y Virgen Penitente.

Papa Pius IX alimtangaza mwenye heri tarehe 20 Novemba 1853. Papa Pius XII akamtangaza mtakatifu tarehe 4 Juni 1950[2], akiwa mtu wa kwanza kutoka Ekwador, na Mfransisko wa kwanza kutoka Amerika Kusini kutangazwa mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa tarehe 26 Mei[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads