Papa Pius XII
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Papa Pius XII (2 Machi 1876 – 9 Oktoba 1958) alikuwa Papa kuanzia tarehe 2 Machi/12 Machi 1939 hadi kifo chake. Alitokea nchi ya Italia[1]. Alitokea Roma, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Eugenio Maria Guiseppe Giovanni Pacelli.
Alimfuata Papa Pius XI na kuvishwa taji la Kipapa tarehe 12 Machi 1939. Akafuatwa na Papa Yohane XXIII.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads