Maria Desolata

From Wikipedia, the free encyclopedia

Maria Desolata
Remove ads

Maria Desolata (kwa Kihispania: Maria Soledad; jina la awali: Manuela Torres y Acosta; Madrid, 2 Desemba 1826 - Madrid, 11 Oktoba 1887) alikuwa bikira wa Kanisa Katoliki nchini Hispania ambaye tangu ujanani alionyesha huruma ya pekee kwa wagonjwa waliohitaji zaidi matunzo, akawahudumia kwa kujikatalia kabisa, akaanzisha shirika lijulikanalo kama Watumishi wa Maria Wahudumu wa Wagonjwa[1].

Thumb
Mt. Maria Desolata Torres Acosta.

Papa Pius XII alimtangaza mwenye heri tarehe 5 Februari 1950 na Papa Paulo VI mtakatifu tarehe 25 Januari 1970.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads