Maria Fu Guilin

From Wikipedia, the free encyclopedia

Maria Fu Guilin
Remove ads

Maria Fu Guilin (Luopo, 1863 hivi - Dailucun, 20 Julai 1900) alikuwa mwalimu mwanamke wa China aliyefia Ukristo wakati wa Uasi wa Waboksa.

Thumb
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Alitolewa kwa maadui wa Injili na kukatwa kichwa huku akimuitia Kristo Mwokozi[1]

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe tarehe 20 Julai[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads