Maria wa Msalaba MacKillop

From Wikipedia, the free encyclopedia

Maria wa Msalaba MacKillop
Remove ads

Maria wa Msalaba MacKillop (Melbourne, Australia, 15 Januari 1842 - Sydney, Australia, 8 Agosti 1909) alikuwa sista mwanzilishi mwenza wa shirika la kitawa la Masista wa Mt. Yosefu wa Moyo Mtakatifu ambalo ndani ya Kanisa Katoliki linahudumia hasa wasichana fukara wasio na elimu.

Thumb
Picha yake halisi (1869).

Aliongoza shirika hilo hadi kifo chake kati ya wingi wa matatizo, masingizio na dharau [1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 19 Januari 1995, halafu Papa Benedikto XVI akatangaza mtakatifu tarehe 17 Oktoba 2010[2], wa kwanza mzaliwa wa Australia[3][4].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads