Marine Le Pen

From Wikipedia, the free encyclopedia

Marine Le Pen
Remove ads

Marine Le Pen (amezaliwa Neuilly-sur-Seine, 5 Agosti 1968) ni mwanasiasa wa Ufaransa.

Ukweli wa haraka mtangulizi, Constituency ...
Remove ads

Maisha

Binti mdogo wa Jean-Marie Le Pen, alifanya kazi kama mwanasheria kati ya miaka 1992 na 1998, mwanachama wa Bunge la Ulaya tangu mwaka 2004, rais wa chama cha kisiasa cha Front National tangu tarehe 16 Januari 2011.[1]

Marejeo

Maisha yake alivyoyaandika mwenyewe

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads