Markulo wa Numidia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Markulo wa Numidia (alifariki 347) alikuwa askofu huko Numidia, leo nchini Algeria, aliyeuawa kwa ajili ya imani yake [1] kwa kutoswa gengeni na Makari fulani wakati wa kaisari Konstans I [2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 25 Novemba[3].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads