Marsiana wa Mauretania

From Wikipedia, the free encyclopedia

Marsiana wa Mauretania
Remove ads

Marsiana wa Mauretania alikuwa bikira Mkristo wa Russucur (leo Dellys katika Algeria) aliyefia dini yake kwa kutupwa kama chakula kwa wanyamapori katika kiwanja cha michezo cha Cherchell wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian na Maximian Herculeus mwaka 303[1][2].

Thumb
Kifodini cha Mt. Marsiana (mchoro mdogo wa karne ya 15).

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Julai[3], lakini pia 9 Januari[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads