Mary Mgonja
Mwanasayansi wa Kilimo Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mary Mgonja ni mwanasayansi wa kilimo kutoka Tanzania na mzalishaji wa mimea, pia ni mkurugenzi wa teknolojia na mawasiliano katika kampuni ya kilimo ya Namburi ya nchini Tanzania.
Remove ads
Elimu
Mary Mgonja ana shahada ya uzamivu katika falsafa na uzalishaji wa mimea. Shahada hiyo ameipata katika chuo cha Ibadani na International Institute of Tropical Agriculture.
Uzoefu wa kazi
Mgonja amefanya kazi kama mwansayansi mkuu katika kuboresha kilimo cha ukame katika Taasisi ya Mazao sehemu zenye ukame katika maeneo ya Patancheru Hyderabad,Telangana nchini India.
Anaiwakilisha Tanzania katika Southern African Development Community (SADC) na East African Community (EAC). Pia amefanya kazi kama mkurugenzi wa Alliance for a Green Revolution in Africa (AGRA) ambayo ni shirika linalosaidiwa na Bill and Melinda Foundation na Rockerfeller Foundation.[1]
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads