Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika
cool boe From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (Kiing. Southern African Development Community kifupi: SADC) iliundwa huko Lusaka, Zambia, tarehe 1 Aprili 1980.

Jina la awali "Southern African Development Community Conference" (SADCC) lilifupishwa kuwa Southern African Development Community tarehe 17 Agosti 1992.
Nchi wanachama
Wanachama ni: Afrika Kusini, Angola, Botswana, Eswatini, Komoro, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Lesotho, Madagaska, Malawi, Morisi, Msumbiji, Namibia, Shelisheli, Tanzania, Zambia, Zimbabwe. Hivyo ina nchi takribani 16 ndani yake. Pia Burundi imeomba kujiunga.
Makao makuu yake yako Gaborone nchini Botswana.
Sababu za kuundwa kwa SADC
Malengo ya SADC:
- kuleta ulinzi na usalama katika nchi husika
- kuleta mshikamano baina ya nchi wanachama
- kuongeza na kukuza biashara baina ya nchi hizo
Tazama pia
- Common Market for Eastern and Southern Africa (COMESA)
- East African Community (EAC)
- Economic Community of Central African States (ECCAS)
- Southern African Customs Union (SACU)
- Economic Community of West African States (ECOWAS)
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads