Masensi wa Poitiers

From Wikipedia, the free encyclopedia

Masensi wa Poitiers
Remove ads

Masensi wa Poitiers (pia: Maxentius, Maixent; Agde, 445 hivi - Poitiers, 26 Juni 515) alikuwa abati maarufu kwa maadili mema nchini Ufaransa[1].

Thumb
Alipozikwa.

Habari zake zimesimuliwa na Gregori wa Tours.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila tarehe 26 Juni[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads