Mashimba Mashauri Ndaki
Mwanasiasa nchini Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mashimba Mashauri Ndaki ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Maswa Magharibi kwa miaka 2015 – 2020. [1] Mwaka 2020 alichaguliwa na Rais John Magufuli kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi nchini Tanzania.
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads