Masimo wa Asia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Masimo wa Asia (alifariki 250 hivi) alikuwa Mkristo wa mkoa wa Asia, leo nchini Uturuki) aliyeuawa kwa kupigwa mawe wakati wa dhuluma ya kaisari Decius wa Dola la Roma[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 14 Mei[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads