Masimo wa Napoli
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Masimo wa Napoli (alifariki 361 hivi) alikuwa askofu wa 10 wa mji huo kuanzia mwaka 350 hadi 357, alipopelekwa uhamishoni kwa sababu ya juhudi zake za kutetea imani sahihi dhidi ya Waario[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu, pengine mfiadini pia, kwa kuwa kifo kiliwahi kumpata kutokana na mateso yaliyotokana na dhuluma ya kaisari Konstansi II[2].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads