Masimo wa Napoli

From Wikipedia, the free encyclopedia

Masimo wa Napoli
Remove ads

Masimo wa Napoli (alifariki 361 hivi) alikuwa askofu wa 10 wa mji huo kuanzia mwaka 350 hadi 357, alipopelekwa uhamishoni kwa sababu ya juhudi zake za kutetea imani sahihi dhidi ya Waario[1].

Thumb
Sanamu ya Mt. Masimo.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu, pengine mfiadini pia, kwa kuwa kifo kiliwahi kumpata kutokana na mateso yaliyotokana na dhuluma ya kaisari Konstansi II[2].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Juni[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads