Masimo wa Yerusalemu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Masimo wa Yerusalemu (alifariki 350 hivi) alikuwa askofu wa Yerusalemu kuanzia mwaka 333 hivi hadi kifo chake[1].

Wakati wa dhuluma ya kaisari Maximinus Daia alinyofolewa jicho na kuunguzwa mguu, pia alitumwa migodini kufanya kazi ya shokoa. Baadaye alifanywa askofu[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Mei[3][4] au 9 Mei[5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads