Maskula

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Maskula (alifariki 462 hivi) alikuwa Mkristo Mkatoliki wa ukoo bora ambaye alikatwa kichwa na Wavandali katika karne ya 5, wakati wa utawala wa mfalme Genseriki aliyekuwa Mwario.

Habari zake zimeandikwa na askofu Vikta wa Vita[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 29 Machi lakini hatajwi tena pamoja na wenzake Armogaste, Arkimino na Saturus katika Martyrologium Romanum.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads