Maura

From Wikipedia, the free encyclopedia

Maura
Remove ads

Maura (pia: Moura; alifariki 286) alikuwa Mkristo wa Antinoe, Misri, aliyeuawa kwa ajili ya imani yake pamoja na mume wake Timotheo Msomaji wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian[1][2].

Thumb
Kifodini cha Timotheo na Maura.

Baada ya kupigiliwa misumari ukutani aliteseka siku 9 kabla hajafa.

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Mei[3] au 25 Septemba.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads