Timotheo Msomaji

From Wikipedia, the free encyclopedia

Timotheo Msomaji
Remove ads

Timotheo Msomaji (alifariki 286) alikuwa Mkristo wa Antinoe, Misri, aliyeuawa kwa ajili ya imani yake pamoja na mke wake Maura wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian[1][2].Baada ya kupigiliwa misumari ukutani aliteseka siku 9 kabla hajafa.Baba yake alikuwa padri Pikolposos. Timotheo alipaswa kunakili na kutunza vitabu vya ibada. Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini. Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Mei[3].

Thumb
Kifodini cha Timotheo na Maura.
Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads