Mauro wa Roma

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mauro wa Roma (alifariki Roma, Italia, karne ya 4 hivi) alikuwa mtoto wa Roma aliyeuawa kwa ajili ya dini ya Kikristo, inasemekana pamoja na wazazi na ndugu yake.

Papa Damaso I alimtangaza kutokuwa na dhambi na kushinda mateso yake yaliyokusudiwa kumsogeza mbali na imani yake [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake ni tarehe 10 Desemba[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads