Nguta

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Nguta (pia:mbata) ni nyama ya nazi ambayo ni mbegu wa mnazi. Kwa lugha nyingi huitwa "copra" kutokana na neno la Kimalayalam kopra (കൊപ്ര) kwa ajili ya nguta.

Faili:Copra.JPG
Nguta inakaushwa kwenye jua

Nguta hutumiwa kwa kutengeneza mafuta ya kulika.

Mbegu kupasuliwa baada ya mavuno. Nusu zake zinakaushwa kwa jiko au chumba cha joto muda wa masaa 24. Baadaye nyama kavuu hutoka rahisi katika ganda. Nguta inasagwa na kukandamizwa na mafuuta kutolewa.

Mabaki ya nguta yanafaa kama chakula bora cha wanyama.

Remove ads

Uzalishaji

Uzalishaji wa Nguta (milioni ya tani)
Namba za 2003-2004'

Takwimu wa FAOSTAT (FAO)

Indonesia15 63029 %15 65029 %
Ufilipino13 70026 %13 70026 %
India9 70018 %9 70018 %
Brazil2 8515 %2 9606 %
Sri Lanka1 8503 %1 9004 %
Uthai1 4203 %1 4503 %
Mexiko9592 %9592 %
Vietnam9202 %9502 %
Malaysia7101 %7101 %
Papua Guinea Mpya5701 %6501 %
Nchi nyingine4 9299 %4 9749 %
Jumla53 239100 %53 603100 %
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads