Mbega

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mbega
Remove ads

Kwa mfalme au mwene mkuu wa kwanza wa Washambaa tazama "Mbegha"

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...

Mbega (pia: mbegha [1] ) ni kima wa nusufamilia Colobinae katika familia Cercopithecidae. Wanatokea Afrika na Asia.

Spishi nyingi huishi mitini lakini spishi nyingine huishi savana zenye miti na hata mijini. Vidole gumba vya spishi za Afrika vimekuwa vigutu pengine ili kurahisisha kwenda katika miti. Mbega hula majani, maua na matunda, pengine wadudu na wanyama wadogo.

Remove ads

Spishi za Afrika

Remove ads

Spishi za Asia

Remove ads

Picha

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads