Mwangati

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mwangati
Remove ads

Miangati ni spishi mbalimbali za mti katika jenasi Terminalia ambazo zina majani madogo kuliko mkungu (Terminalia catappa). Inatokea savana na misitu ya Afrika ya tropiki. Spishi kadhaa, k.m. T. mantaly, hupandwa katika bustani na kandokando ya mitaa. Majina mengine ni mbombaro, mkaa, mkulungo, mpululu, mwalambe, mwarambe na mwavuli. Jina mwangati hutumika pia kwa mti mwingine, Juniperus procera, unaoitwa mtarakwa vilevile.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Remove ads

Spishi za Afrika ya Mashariki

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads